Maisha Yangu Na Baada Ya Miaka Hamsini (inbunden)
Fler böcker inom
Format
Häftad (Paperback / softback)
Språk
Swahili
Antal sidor
124
Utgivningsdatum
2003-12-01
Upplaga
Reissued
Förlag
Mkuki na Nyota Publishers
Dimensioner
198 x 129 x 8 mm
Vikt
141 g
Antal komponenter
1
Komponenter
Paperback
ISBN
9789976973167

Maisha Yangu Na Baada Ya Miaka Hamsini

Häftad,  Swahili, 2003-12-01
415
  • Skickas från oss inom 7-10 vardagar.
  • Fri frakt över 249 kr för privatkunder i Sverige.
Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu.An autobiographical work in poetry and prose.
Visa hela texten

Passar bra ihop

  1. Maisha Yangu Na Baada Ya Miaka Hamsini
  2. +
  3. Harusi ya Dogoli

De som köpt den här boken har ofta också köpt Harusi ya Dogoli av Athumani B Mauya (häftad).

Köp båda 2 för 773 kr

Kundrecensioner

Har du läst boken? Sätt ditt betyg »

Fler böcker av Shaaban Robert