Mungu Hakopeshwi (inbunden)
Fler böcker inom
Format
Häftad (Paperback / softback)
Språk
Swahili
Antal sidor
254
Utgivningsdatum
2017-12-20
Förlag
Mkuki na Nyota Publishers
Medarbetare
Baharoon, Zainab Alwi
Illustrationer
Black & white illustrations
Dimensioner
198 x 129 x 16 mm
Vikt
227 g
Antal komponenter
1
Komponenter
771:B&W 5.06 x 7.81 in or 198 x 129 mm Perfect Bound on Creme w/Matte Lam
ISBN
9789987753932

Mungu Hakopeshwi

Häftad,  Swahili, 2017-12-20
301
  • Skickas från oss inom 7-10 vardagar.
  • Fri frakt över 249 kr för privatkunder i Sverige.
Riwaya ya Mungu Hakopeshwi inaelezea maisha ya familia moja ya Unguja iliyoingia katika mitafaruku na mikasa mingi. Kila kitu huwa na chanzo na khatima; basi ni nini chanzo cha mitafaruku hiyo na khatima yake ilikuwaje? Simulizi ni juu ya baba, Bw. Ahmed, mwenye hasira kali zisizo na mipaka, aliyeongoza familia yake kwa utashi wa nafsi yake, bila kujali hisia za mkewe wala wanawe. Kumbe moyoni mwake alihifadhi siri, na hiyo siri ndiyo iliyomfanya Bw. Ahmed kuwa mkali bila kiasi, ikimsukuma azuie kurejea kwa yale yaliyomfika zamani. Lakini kivuli cha historia ya maisha yake ya nyuma hakikuacha kumuandama. Riwaya hii i meandikwa kwa lugha nzuri na fasaha, kwa ufundi wa msanii makini na mwelewa wa maisha ya jamii za Kizanzibari na za mwambao kwa jumla.
Visa hela texten

Passar bra ihop

  1. Mungu Hakopeshwi
  2. +
  3. Harusi ya Dogoli

De som köpt den här boken har ofta också köpt Harusi ya Dogoli av Athumani B Mauya (häftad).

Köp båda 2 för 659 kr

Kundrecensioner

Har du läst boken? Sätt ditt betyg »

Recensioner i media

"In Mungu Hakopeshwi, Zainab Alwi Baharoon, has used the standard unguja Swahili masterfully. The language used flows so effortlessly that the reader can also have fun while reading. The overriding issue handled in this work is women's struggles against the backdrop of male chauvinism and domination where the women find themselves at the bottom rung of the societal ladder (especially in the Swahili society)." - Mabati Cornell Kiswahili Prize



Övrig information

ZAINAB ALWI BAHAROON alizaliwa Mji Mkongwe, Zanzibar. Licha ya umri wake anaonesha katika riwaya hii dalili zote za kipaji cha uandishi wa riwaya, na kuwa kazi zake zitakuja kushamiri na kumpandisha kwenye jukwaa la waandishi maarufu.Hii ni riwaya yake ya mwanzo.